tareehe 7 march 2017 kipind cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio kilifanya fumanizi kwa kumpigia simu msanii MYSON ARTIST ambaye hivi karibuni ametoka wimbo wa kuwashutuma wasanii wanao tokea Arusha na kuwatuhumu katika maeneo mbalimbali.
Muongozai wa kipindi hicho Benedict Ngelangela alimpigia simu msanii huyo kwakujua ni jinsai gani anaweza kuwajibu wasanii wanampigia simu kumpatia vitishio kupitia wimbo wake huo ambao unawekwa kama wimbo wa kuwadiss baadhi ya wasanii ambao wanafanya game la muziki Arusha.
hivi karibuni msanii huyo aliposti maneno kwenye ukurasa wake wa facebook akielezea ni nini kimemkuta baada yakuachia wimbo huo na inasemekana amezuiliwa kuingi mjini Arusha na baadhi ya wasanii waliotajwa kwenye wimbo huo.
HII NI POST YAKE KUPITIA FACEBOOK.
Huwezi kunitishia kufika Arusha kisanimekutaja kwenye ngoma yangu bro nakuheshimu sana napia natambua mchango wako kwenye game ya hiphop Arusha but unapokuja swala la kuambiwa ukweli wengi Ndo huwa mna mind ila pia kumbuka mm nimtanzania na nalindwa na katiba ya nnchi naweza pia kukushtaki kwa kunitishia
Arusha nitakuja tu huwezi nitisha na pili kam hujui nimezaliwa Arusha nimekulia Arusha nime...
SASA BONYEZA HAPA USIKILIZE MAJIBU YAKE BAADA YAKUPIGIWA SIMU NA MTANGAZAJI ALIE IGIZA KAMA MSANII ALIYESEMWA KWENYE WIMBO WAKE.
Source MICHARAZO TIME 98.4 DODOMA FM RADIO.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Tuesday, March 7, 2017
Home
RADIO
(AUDIO)HILI NI FUMANIZI LA MYSON ARTIST BAADA YA KUTOA WIMBO ALIO WADISS WASANII WAARUSHA @source micharazo time 98.4 dodoma fm
(AUDIO)HILI NI FUMANIZI LA MYSON ARTIST BAADA YA KUTOA WIMBO ALIO WADISS WASANII WAARUSHA @source micharazo time 98.4 dodoma fm
Tags
# RADIO
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
RADIO
Labels:
RADIO
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.