ligi hiyo inayokutanisha mitaa mbalimbali ndani ya manispaa ya Dodoma ambayo imelenga kuibua vipaji ambavyo vimejificha pamoja na kuhamisisha ukuzaji wa mchezo huo ndani ya mkoa huu wa dodoma.
timu ya mihuji |
timu ya makole |
round ya 2.
MIHUJI vikapu 35 MAKOLE 28
ROUND 3
MIHUJI vikapu 41 MAKOLE 38.
ROUND 4.
MIHUJI vikapu 61 MAKOLE 56.
Mpaka mchezo unamalizika MIHUJI imeibuka na ushindi wa vikapu 61 kwa 56 dhidi ya MAKOLE.