MATUKIO PICHA WAKAZI WA MAILI MBILI MKOANI DODOMA WALIVYO JITOKEZA KWA WINGI KWENYE TAMASHA LA KUMSAKA MKALI WA MTAA LILILOANDALIWA NA98.4 DODOMA FM RADIO - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, November 21, 2016

MATUKIO PICHA WAKAZI WA MAILI MBILI MKOANI DODOMA WALIVYO JITOKEZA KWA WINGI KWENYE TAMASHA LA KUMSAKA MKALI WA MTAA LILILOANDALIWA NA98.4 DODOMA FM RADIO

Tukiwa tuansubiri kuelekea katika Tamasha kubwa la Dodoma Festival 2016 lililoandaliwa na Dodoma fm radio, sasa Vodacom pamoja na kituo hicho cha radio wanakatiza mtaa kwa mtaa kwaajili ya kutafuta vipaji pamoja na kugawa zawadi kwa mshindi.

Tayari takribani mitaa 5 imesha fikiwa na hivyo ndivyo ilivyokuwa katika mtaa wa Maili Mbili mkoani Dodoma.







Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages