HAIJAWAI KUTOKEA HII NDIO FILAMU ALIYO CHEZA MTOTO WA DODOMA NA KUWAFUNIKA MASTAA WAKUBWA. - NGELANGELA NEWS

Post Top Ad

Friday, March 13, 2015

demo-image

HAIJAWAI KUTOKEA HII NDIO FILAMU ALIYO CHEZA MTOTO WA DODOMA NA KUWAFUNIKA MASTAA WAKUBWA.

Responsive Ads Here
 11041771_276588102511779_2977461366216136444_n
Hayawi hayawi sasa yamekuwa ile filamu iliyo kuwa inasubiliwa kwa hamu sasa ipo madukani, ukizungumzia kati ya filamu bora ambazo unastahili kuitazama kwasasa ukiwa peke yako au na familia yako bila shaka ni filamu inayo kwenda kwa jina la CLARITHA,
Ambayo imechezwa jijini dar es salaam katika maeneo mbalimbali huku wa sanii wakubwa kama mzee na mzee JENGUA.
 11046634_276588145845108_6733297773845772941_n
Licha ya mastaa hao wote kucheza humo ndani lakini pia kimeonekana kipaji kipya kutoka mji  kwenye zabibu kibao ambaye ni mwanafunzi wa ST JOHN UNIVERSITY  anayeitwa RACHEL NJINGO a.k.a RMODEL ambaye amecheza kama starring wa filamu hiyo na kuonyesha uwezo mkubwa sana wa kuigiza.
Licha ya kuwa muigizaji lakini pia anavipaji mbalimbali kama video queen na ameshiriki kwenye nyimbo mbalimbali kama nyimbo ya msanii JACO BEAT inayoitwa NGEBE, Lakini pia ni mwanamitindo wa mavazi.
AKIZUNGUMZA NA MTANDAO HUU RACHEL NJINGO ALIKUWA NA HAYA YAKUSEMA
 1506907_276588229178433_3202429252861420532_n
@@@@ni kweli filamu ya claritha imetoka na ni filamu mpya kwasasa ambayo ni nzuri na inakiwango kikubwa cha kila mtu kuweza kuitazama, napenda kuwaomba wakazi wa dodoma na tanzania kwa ujumla waweze kuinunua kwani kwasasa ipo madukani.@@@@
11025169_1556629471288980_1262077325603011758_n
rahel njingo kwenye poz

Post Bottom Ad

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *