MSANII ONE SIX AOMBA MAOMBI KWA WADAU BAADA YA HALI YAKIAFYA KUWA MBAYA. - NGELANGELA NEWS

Post Top Ad

Thursday, July 20, 2017

demo-image

MSANII ONE SIX AOMBA MAOMBI KWA WADAU BAADA YA HALI YAKIAFYA KUWA MBAYA.

Responsive Ads Here
Msanii wa muziki kutoka Dodoma Tanzania Onesix ametumia ukurasa wake wa facebook kueleza kinacho msumbua kiafya nakuwaomba wadau na masabiki zake wamuombee ili arudi kwenye hali yake ya kawaida.

Hivi karibuni kupitia kipindi cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio Onesix aliripotiwa kupata homa iliyopelekea kulazwa na baada ya wiki moja alipona kabisa.

HIKI NDICHO ALICHOANDIKA ONE SIX KWENYE UKURASA WAKE FB.

Daaah ndug zang hali imenirudia tena naumwa Sana siku ya nne tang nipost post ya mwisho........maombi yenu ndio yalinisimamisha mara ya kwanza na nikasimama so plz naomba sana ndug zang na mi pia najiombea mwenye uhitaj wa kuniona aje nyumbani kisasa kw mama.......karibun sana


20139912_717014888499329_6422074181443380936_n

Post Bottom Ad

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *