Kupitia kipindi cha nyakati zinabadilika toka 98.4 Dodoma fm radio ambacho huangazia mambo mbalimbali ya kilimo kilifanikiwa kufika nje kidogo ya mji wa Dodoma kata ya Ihumwa na wamefanikiwa kukutana na wakulima wakilimo cha vitunguu kuelezea kiundani hali ya kilimo hicho mkoani Dodoma pamoja na soko lake kiujumla.
|
vitunguu vikitoka kuvunwa |
miongoni mwa changamoto walizo bainisha ni kuuziwa baadhi ya dawa za mazao ambazo ni bandia zimekuwa zikishindwa kukuza mazao yao vizuri.
pia wamesema hali ya soko bado si lauhakika kwani wamekuwa wakijitafutia masoko pamoja na kupangiwa bei ya mauzo na walanguzi wa zao hilo.
BONYEZA HAPA KUSILIZA WAKULIMA HAO WAKIBAINISHA CHANGAOMOTO ZAO.
imeendaliwa na Benedict Ngelangela.