MANENO YA BREEZY KINYONGOROKA BAADA YA KUPERFORM KWENYE JUKWAA LA FIESTA DODOMA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Tuesday, September 20, 2016

demo-image

MANENO YA BREEZY KINYONGOROKA BAADA YA KUPERFORM KWENYE JUKWAA LA FIESTA DODOMA.

Responsive Ads Here
ni msanii kutekea mkoani dodoma wakuitwa Breazy ambaye wimbo wake wa Kidawa umekuwa ni mkubwa kanda ya kati nakusababisha mashabiki kudai video ya wimbo huo.
14370223_1757188477869039_2669705456224670132_n
Breezy amesema amejifunga mengi sana baada ya kupanda kwenye jukwaa la Fiesta mkoani Dodom kwani hakuamini kama mashabiki wengempokea kwa nguvu zote na kuweza kupigiwa shangwe la kutosha hambalo hakutarajia kama ingekuwa hivyo.

ameongeza kwa kusema baada ya kufanya kile mashabiki wanahitaji kwasasa amelisoma game kuwa linahitaji nini na mwezi wa kumi anampango wa kuachia wimbo mwingine ambao mpak sasa bado hajaweka wazi kwamba wimbo huo utaitwaje na amefanya kwenye studio zipi.


Post Bottom Ad

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *