Kwasasa ONE_SIX anaendelea kufanya poa kupitia wimbo alioshirikishwa na msanii mwenzake Mch ZAYUMBA.
HAYA NI MANENO ALIYOYAANDIKA KUPITIA UKURASA WAKE WA FB.
![]() |
Happy b day to me.......mungu ni mwema mpaka sasa hawajafanikiwa kuniogesha maana nlipojificha ni noma....
HAWA NI BAADHI YA WATU WALIO TOA MANENO YAO KWA MKALI ONE SIX.
|