BUJANLAU ATANGAZA ATAKACHOKIFANYA SIKU YA VALENTINE DAY, SOMA ALICHOKISEMA UFURAHI NA ROHO YAKO. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Friday, February 12, 2016

demo-image

BUJANLAU ATANGAZA ATAKACHOKIFANYA SIKU YA VALENTINE DAY, SOMA ALICHOKISEMA UFURAHI NA ROHO YAKO.

Responsive Ads Here
Msanii wa mzuiki toka dodoma Bujanlau ambaye kwasasa anatamba na ngoma yake mpya yakuitwa knowledge ametangaza kitu ambacho atakifanya siku ya valentine day.
12670560_1667491920165760_918077100025160199_n
kupitia mtandao wa watsap kwenye group la jukwaa la wasanii msanii huyo wa muziki wa hip hop amesema siku ya valentine day amepanga kusherehekea siku hiyo kwa kukesha studio akiandaa mkwaju wake mpya ambao anatarijia kuutoa muda si mrefu.

source watsap.

Post Bottom Ad

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *