EMMA THE BOY CLASSIC NDIYE MUIGIZAJI ANAE CHIPUKIA KWA KASI TOKA DODOMA, NAKUUMIZA VICHWA VYA WAIGIZAJI KIBAO. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Tuesday, March 10, 2015

demo-image

EMMA THE BOY CLASSIC NDIYE MUIGIZAJI ANAE CHIPUKIA KWA KASI TOKA DODOMA, NAKUUMIZA VICHWA VYA WAIGIZAJI KIBAO.

Responsive Ads Here
 10553670_1581388338814727_4215542447297165349_o
































Ukizungumzia kati ya mikoa ambayo inavipaji ambavyo vina kidhi hadhi ya kimataifa basi lazima uutaje Mkoa wa dodoma
kwa kujaliwa na vijana ambao wanauwezo mkubwa wakufanya vitu mbalimbali vya kufurahisha jamii.


10854448_1581387968814764_2557721775440966674_o

Alianza kwa kupendelea kutazama movie na filamu za kibongo na za kihindi na ndipo alipo jigundua kuwa anauwezo wa kuigiza na kufanya kamawengine kwenye gemu la uigizaji.hapa anazungumziwa msanii wa maigizo Emma de boy classic ambaye ameshiriki kwenye filamu ambayo inatarajia kutoka hivi karibuni ambayo kacheza kama main character pamoja na RACHEL NJINGO.
 11034339_1581388442148050_6284153459664619218_o
Akihojiwa kwenye kipindi cha MAKUTANO YA VIJANA ndani ya 98.4 dodoma fm radio kikiongozwa na LIVINGSTONE MWANGINGO Emma amesema anajikubali anauwezo wa kufika mbali kutokana na kipaji chake kuwa kikubwa zaidi
 11046627_1581388018814759_2362621025773841209_o
@@@malengo yangu kuwa msanii wakimataifa maana kipaji changu si cha east africa tuu bali ni dunia nzima@@
kuhusu ni msanii gani wa sanaa ya uigizaji anamkubali hakusita kumtaja Ray Kigosi toka bongo movie.
pia hajaacha kuwaomba wapenda sanaa wa dodoma  na tanzania kwa ujumla kuisapoti filamu ambayo inatarajia kutoka hivi karibuni ambayo imeshirikisha waigizaji wa kutoka dodoma.
11043337_1581388278814733_3878430350505510887_o

Post Bottom Ad

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *